Uongozi wa Kijamii na Maendeleo ya Moshi Mjini.
Meya wa Manispaa na Diwani wa kata ya Njoro leo tar 18/8/2025 amefika kwenye ofisi za Mtendaji kata ya njoro kuchukua fomu nafasi ya udiwani kwa kipindi cha 2025-2030.
Maboresho ya Zahanati ya Njoro yameambatana na uongezaji wa vifaa, vitanda na miundombinu ya kumsaidia mama mjamzito.
Mstahiki Meya Zubei Kidumo amehakikisha Wakandarasi wanarudi kazini kumalizia stendi ya Ngangamfumuni.Mstahiki Meya Mh.Zuberi Kidumo, Mkurugenzi Ndg Mwajuma Nasombe na Naibu Mstahiki Meya wakiwa pamoja Frame No.1
Mstahiki Meya Zuberi Kidumo amehakikisha Manispaa ya Moshi inapata jengo jipya na kusimamia usafi manispaa.
Mstahiki Meya Zuberi Abdallah Kifumo akiwa na baraza lake la Madiwani.
Kuimarisha usalama wa mji kupitia uongezaji wa askari jamii
Video zikimuonyesha Mstahiki Meya Zuberi Kidumo akiwa kwenye matukio mbalimbali ya Kijamii.