NyumbaniMsimamoMatokeo LiveMeyaJaza Fomu
Kilimanjaro Region · Msimu wa Sita · 2026

ZUBERI
CUP

Mchuano mkuu unaoleta timu bora zaidi za Kilimanjaro

Soma zaidi
6
Misimu
16
Timu
1000+
Mashabiki
2026
Msimu
⚽ LIVE
Hakuna mechi za live kwa sasa · Angalia ratiba hapa chini ⚽ Hakuna mechi za live kwa sasa · Angalia ratiba hapa chiniHakuna mechi za live kwa sasa · Angalia ratiba hapa chini ⚽ Hakuna mechi za live kwa sasa · Angalia ratiba hapa chini

MECHI ZA LEO

IMEKWISHA
Zuberi Cup 2026
INAKUJA
KF
KWARE FC
:
MF
MANDELA FC
Zuberi Cup 2026
INAKUJA
LFF
LA FAMILIA FC
:
MMF
MJI MPYA FC
Zuberi Cup 2026
INAKUJA
GEF
GREEN EAGLE FC
:
NUF
NG'AMBO UTD FC
Zuberi Cup 2026
INAKUJA
KRF
KILI RANGERS FC
:
KWF
KIBO WARRIOR FC
Zuberi Cup 2026
INAKUJA
NUF
NJORO UTD FC
:
KPF
KILI PLANTATION FC
Zuberi Cup 2026
INAKUJA
KBS
KILI BIG STARS FC
:
KW
KILI WONDERS
Zuberi Cup 2026
INAKUJA
FF
FIRE FC
:
BUF
BOYS UTD FC
Zuberi Cup 2026
INAKUJA
BF
BONDENI FC
:
HF
HAI FC

Inasasishwa moja kwa moja

🏆 Mabingwa wa Zuberi Cup 2025
AFRO BOYS FC
Wachukua Ubingwa · Msimu wa Tano · Zuberi Cup 2026 Inakuja!

MATUKIO 2026

Rasmi Mashindano ya Zuberi Cup 2026 kuanza Tar.11/07/2026
Matokeo
2026-04-12
Rasmi Mashindano ya Zuberi Cup 2026 kuanza Tar.11/07/2026
Viwanja viwili viko tayari sasa kuanza kuchezewa mashindano ya Msimu wa 6
Eng.Zuberi Kidumo aahidi Michuano ya ZUBERI CUP 2026 Ndani ya Mkoa wa Kilimanjaro yatakua ya Kihistoria
Uwanja wa Mandela
2026-04-12
Eng.Zuberi Kidumo aahidi Michuano ya ZUBERI CUP 2026 Ndani ya Mkoa wa Kilimanjaro yatakua ya Kihistoria
Uwanja wa Railway kuanza kutumika kwa ajili ya Hatua ya 16 bora
MANDELA

UWANJA WA MANDELA

Mdhamini Mkuu wa Mashindano - Eng. Zuberi Kidumo
Mradi Mkuu · 2026
INAJENGWA
Viwango vya Kimataifa
Viwango vya FIFA
Meya Zuberi Kidumo
Msimamizi Mkuu
Ujenzi wa Hadhi ya Kimataifa

Tukiandaa
Zuberi Cup 2026
kwa Ustawi

Matengenezo makubwa ya Uwanja wa Mandela yanaendelea kwa kasi, yakilenga kufikia viwango vya kimataifa na kuhakikisha Zuberi Cup 2026 inafanyika katika mazingira bora na ya kipekee.

Chini ya uongozi wa Mhe. Meya Eng. Zuberi Abdallah Kidumo na ufadhili wa Raz Builders Construction Company, uwanja huu utakuwa kielelezo cha maendeleo ya michezo katika Mkoa wa Kilimanjaro.

Ujenzi wa Msingi85%
Viti vya Mashabiki40%
Mwanga & Teknolojia30%
🏟 Uwezo: 5,000+⚽ Kiwango cha FIFA💡 Mwanga wa LED🎥 VAR Ready♿ Upatikanaji Wote
Uwanja wa Railway

UWANJA WA
RAILWAY

Uwanja wa Railway ndio uwanja mkuu unaotumika kwa mechi za muhimu za Zuberi Cup. Umekuwa ukishuhudia mechi nyingi za kumbukumbu tangu mwanzo wa mashindano.

Umekarabatiwa hivi karibuni kwa viwango vya kimataifa, ukihakikisha uzoefu bora kwa wachezaji na mashabiki wote.

1,000
Uwezo wa Watu
Moshi
Manispaa
6+
Misimu ya Mchuano
KILIMANJARO
Mkoa wa Kilimanjaro